Thu, 16 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya soka ya Al Nassir inayoshiriki ligi kuu nchini Saudi Arabia “Saudi Pro”, imeonyesha dhamira ya kuitaka saini ya kiungo wa Manchester United Bruno Fernandez.
Klabu ya soka ya Al Nassir inayoshiriki ligi kuu nchini Saudi Arabia “Saudi Pro”, imeonyesha dhamira ya kuitaka saini ya kiungo wa Manchester United Bruno Fernandez. kama dili hiyo ikikamilika basi kiungo huyo ataenda kuungana na raia mwenzake wa Ureno Cristiano Ronaldo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live