Tue, 15 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bayern Munich inataka kumsajili mshambuliaji wa Man United, Cristiano Ronaldo wakati wa dirisha la usajili wa Januari.
Bayern Munich inataka kumsajili mshambuliaji wa Man United, Cristiano Ronaldo wakati wa dirisha la usajili wa Januari. Inaelezwa kuwa Cristiano na Wakala wake walikutana na miamba hiyo ya Ujerumani kwa ajili ya mazungumzo siku chache kabla ya mahojiano yake na Piers.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live