Nahodha wa Ureno Cristiano Ronaldo amezungumza na uongozi wa Al Nassr FC kabla ya kwenda kwenye kambi ya Timu ya Taifa na amewaambia kuwa yuko tayari kuongeza mkataba wa kuendelea kubakia hadi January mwaka 2027 baada ya kucheza Final za Kombe la Dunia la 2026 baada ya hapo atatangaza kustaafu soka.
Nahodha wa Ureno Cristiano Ronaldo amezungumza na uongozi wa Al Nassr FC kabla ya kwenda kwenye kambi ya Timu ya Taifa na amewaambia kuwa yuko tayari kuongeza mkataba wa kuendelea kubakia hadi January mwaka 2027 baada ya kucheza Final za Kombe la Dunia la 2026 baada ya hapo atatangaza kustaafu soka.