Inaelezwa kuwa kamati ya nidhamu ya Ligi kuu Saudi Arabia imeanza uchunguzi kwa nahodha wa klabu ya Al Nassr C. Ronaldo kwa kushangilia kwa style ambayo imeonekana kuwa na ishara mbaya michezoni mbele ya mashabiki wa klabu ya Al Shabab pindi Mchezo ulipokuwa unaendelea hapo jana.
Inaelezwa kuwa kamati ya nidhamu ya Ligi kuu Saudi Arabia imeanza uchunguzi kwa nahodha wa klabu ya Al Nassr C. Ronaldo kwa kushangilia kwa style ambayo imeonekana kuwa na ishara mbaya michezoni mbele ya mashabiki wa klabu ya Al Shabab pindi Mchezo ulipokuwa unaendelea hapo jana. Uchunguzi huo utakaotamatishwa ndani ya masaa 48 yajayo na maamuzi yatatolewa mara tu uchunguzi utakapotamatika.