Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Cristiano Ronaldo anajaribu kuwashawishi wachezaji wenzake wawili wa zamani kwa lengo la kuwashawishi wajiunge na klabu anayocheza ya Al Nassr.
Cristiano Ronaldo anajaribu kuwashawishi wachezaji wenzake wawili wa zamani kwa lengo la kuwashawishi wajiunge na klabu anayocheza ya Al Nassr. Wachezaji hao ni beki wa Real Madrid na Uhispania Nacho Fernandez, pamoja na kiungo wa kati wa Manchester United na Brazil Casemiro.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live