Thu, 29 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Cristiano Ronaldo amesimamishwa kucheza mechi moja baada ya ishara chafu aliyoionyesha uwanjani hivi karibuni nchini Saudi Arabia.
Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita dakika chache baada ya timu ya al-Nassr anayoichezea Ronaldo, kuishinda al-Shabab kwa goli 3-2.
Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United vilevile ameamriwa kulipa faini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live