Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Cristiano Ronaldo amefunga magoli 40 ndani ya mwaka 2023 goli moja zaidi ya Erling Haaland (39).
Ronaldo ameifungia Ureno magoli mawili katika mchezo kufuzu EURO 2024 dhidi ya Bosnia&Herzegovina.
Ureno ipo mbele 5-0 mpaka kipenga cha mwisho.
FT: BOSNIA 0-5 PORTUGAL
5' Ronaldo
19' Ronaldo
25' Bruno Fernandes
32' Cancelo
42' Felix.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live