Tue, 5 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshindi mara tano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) amesema hawezi kuuza medali zake za UEFA ili apate kombe la Dunia.
Majibu hayo ameyatoa baada ya kuulizwa kama yupo tayari kuuza medali zake tano za UEFA ili apate Kombe la Dunia.
Ronaldo amezidiwa na hasimu wake Lionel Messi ambae yeye tayari amenyakua Ubingwa wa Dunia akiwa na Argentina.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live