Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ronaldo Jr mtoto wa Cristiano Ronaldo amejiiunga na Al Nassr U-15 ya Saudi Arabia na amepewa jezi namba 7 kama anayovaa Baba yake.
Ronaldo Jr amepita katika Akademi za Real Madrid, Manchester United na Juventus ambazo baba yake amecheza.
Mtoto wako ana dalili ya kufanya kama unachofanya wewe?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live