Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota nguli wa Kimataifa wa Brazil, Ronaldinho Gaucho akipewa maua yake ndani ya India mara baada ya kuzindua academy iitwayo 'R10 Academy ' ndani ya Rajarhat.
Nyota nguli wa Kimataifa wa Brazil, Ronaldinho Gaucho akipewa maua yake ndani ya India mara baada ya kuzindua academy iitwayo 'R10 Academy ' ndani ya Rajarhat. Kastaafu soka lakini bado anaendelea kuheshimika kwenye mataifa mbalimbali kwa kile alichokifanya kwenye karia yake ya Soka Duniani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live