Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa klabu ya Liverpool na timu ya Taifa ya Argentina Alex Mac Allister baada ya kichapo cha goli 2-1 hapo jana dhidi ya Tottenham aliandika
"Ni kawaida ukicheza na watu kumi na mbili"
Baada ya kuandika hivyo kiungo wa klabu ya Tottenham Cristian Romero ambaye ni mchezaji wa timu ya Taifa ya Argentina pia akaandika
" Kalilie nyumbani'
Chanzo: www.tanzaniaweb.live