Mon, 15 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Manchester City na Hispania, Rodri amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashindano ya kombe la Mataifa Ulaya, EURO 2024 baada ya kuisaidia Uhispania kutwaa ubingwa wa michuano hiyo dhidi ya England.
Kiungo wa Manchester City na Hispania, Rodri amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashindano ya kombe la Mataifa Ulaya, EURO 2024 baada ya kuisaidia Uhispania kutwaa ubingwa wa michuano hiyo dhidi ya England.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live