Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Manchester City Rodrigo pamoja na Jack Grealish Wamerejea Na watakuepo kwenye mchezo ujao wa ligi kuu dhidi ya Luton Town.
Kiungo wa Manchester City Rodrigo pamoja na Jack Grealish Wamerejea Na watakuepo kwenye mchezo ujao wa ligi kuu dhidi ya Luton Town. Habari Njema Kwa Mashabiki Wa Manchester City baada ya kushuhudia matokeo yasiyo ya kuridhisha katika michezo yao mitatu iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live