Fri, 22 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Roberto Martínez ameshinda michezo yote kama kocha mkuu wa Ureno na hii ndio rekodi yake hadi sasa;
Amefuzu Euro 2024 akiwa wa kwanza kwenye kundi
Ameshinda 11 katika michezo 11
Clean sheets 9
Mabao 41 ya kufunga
mabao 4 ya 4 kufungwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live