Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Safari ya miezi 10 ya kocha Roberto Oliviera ‘Robertinho’ imetamatika ndani ya klabu ya Simba, licha ya kocha huyo kuwa na takwimu zinazoshawishi, kipigo alichokipata kutoka kwa Yanga kimewafanya waajiri wake washindwe kumvumilia.
Ni sawa na kumfafanisha na mwanafunzi mwenye mwandiko mzuri lakini ameshindwa kufaulu katika mitihani yake.
Rasmi kocha huyo amefungashiwa virago lakini mimi na wewe tujiulize maisha ya Robertinho msimbazi yalikuaje? Fuatilia hapa kufahamu kwa undani zaidi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live