Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa kikosi cha Simba Robert Oliviera tangu ametua Simba ameiongoza katika michezo kumi (10) ya Ligi ya mabingwa Afrika.
Ameshinda mechi nne (4) amefungwa mechi nne (4) ametoa sare mechi mbili (2).
Mechi inayofuata kimataifa dhidi ya Al Ahly katika Michuano ya African Football League.
Hizi sio takwimu mbaya kwa kocha anayecheza kwa malengo, hadi hivi sasa kwenye Ligi ana "unbeaten".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live