Jina la kwanza lililopitishwa na kocha wa Simba, Robertinho kusajiliwa pindi tu dirisha litakapofunguliwa ni winga wao wa zamani Hassan Dilunga ambaye anafanya mazoezi na timu hiyo, jambo lililomshawishi kocha kukubali kiwango chake.
Jina la kwanza lililopitishwa na kocha wa Simba, Robertinho kusajiliwa pindi tu dirisha litakapofunguliwa ni winga wao wa zamani Hassan Dilunga ambaye anafanya mazoezi na timu hiyo, jambo lililomshawishi kocha kukubali kiwango chake. Dilunga aliachwa na Simba msimu huu baada ya kupata majeraha ya muda mrefu lakini ameimarika na sasa yuko fiti kurudi Uwanjani.