Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa klabu ya Tottenham Hotspurs Richarlison amemtaja kocha wa Liverpool kama miongoni mwa makocha bora aliowahi kukutana nao licha ya kuwa hakuwahi kumfundisha.
Nyota wa klabu ya Tottenham Hotspurs Richarlison amemtaja kocha wa Liverpool kama miongoni mwa makocha bora aliowahi kukutana nao licha ya kuwa hakuwahi kumfundisha. "Licha ya upinzani tuliokuwa nao uwanjani, wewe ni moja ya makocha bora sana niliowahi kuwashuhudia. Mungu aibariki safari yako." Richarlson Nyota wa klabu ya Tottenham Hotspurs.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live