Wed, 10 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Upo Uwezekano wa Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Namungo FC, Reliant Lusajo kujiunga na klabu ya Mashujaa.
Upo Uwezekano wa Aliyekuwa mshambuliaji wa klabu ya Namungo FC, Reliant Lusajo kujiunga na klabu ya Mashujaa. Mazungumzo yamefika pazuri na inatajwa kabla ya juma hili kuisha atakuwa amesha saini klabuni hapo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live