Tue, 19 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Droo ya Hatua ya 16 Bora ya Michuano ya UEFA ikitoka hadharani, rekodi zinaoneshha kuwa Klabu ya Arsenal wametolewa kwenye mechi za klabu bingwa barani Ulaya katika hatua ya 16 bora ndani ya misimu 7 ya hivi karibuni ambayo wameshiriki.
Wakati Droo ya Hatua ya 16 Bora ya Michuano ya UEFA ikitoka hadharani, rekodi zinaoneshha kuwa Klabu ya Arsenal wametolewa kwenye mechi za klabu bingwa barani Ulaya katika hatua ya 16 bora ndani ya misimu 7 ya hivi karibuni ambayo wameshiriki. Je, raundi hii watatoboa mbele ya wababe wa Ureno FC Porto ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live