Kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya Abbas ameendeleza mtoto wake wa kupachika mabao siku za hivi karibuni jambo ambalo limezidi kuwapa furaha Wananchi ambao kwa sasa ni kama wapo kwenye kilele cha furaha kufuatia matokeo mazuri wanayoyapata siku hadi siku.
Mudathir amefunga magoli (5) katika mechi (5) za mwisho (NBC) baada ya AFCON.
⚽ vs Dodoma jiji
⚽ vs Mashujaa FC
- vs Tanzania Prisons
⚽⚽ vs KMC
⚽ vs Namungo FC
Mudathir Yahya msimu huu mpaka sasa kwenye kichuano yote amefunga mabao 10.
⚽ vs KMC
⚽ vs ASAS Djibouti (CAF)
⚽ vs Namungo
⚽ vs Medeama (CAF)
⚽ vs Dodoma jiji
⚽ vs Mashujaa FC
⚽⚽ vs KMC
⚽ vs CR Belouizdad (CAF)
⚽ vs Namungo Fc
Takwimu za vinara wa mabao, michezo waliyocheza, Magoli na Assists ;
01. Mechi 20, mabao ⚽ 12 assists 5 — Feisal Salum
02. Mechi 12, mabao ⚽ 11 assists 4 — Stephane Aziz Ki
03. Mechi 18, mabao ⚽ 08 assists 4 — Marouf Tchakei
04. Mechi 16, mabao ⚽ 08 assists 2 — Maxi Nzengeli
05. Mechi 10, mabao ⚽ 08 assists 1 — Jean Baleke
06. Mechi 18, mabao ⚽ 11 assists 0 — Waziri Junior
07. Mechi 16, mabao ⚽ 07 assists 2 — Mudathir
08. Mechi 11, mabao ⚽ 07 assists 1 — Prince Dube
09. Mechi 18, mabao ⚽ 07 assists 0 — Adam Adam
10. Mechi 18, mabao ⚽ 07 assists 1 — Mbangula
11. Mechi 15, mabao ⚽ 06 assists 3 — Pacome Zouzoua.
Tangu aanze kucheza soka la ushindani kwa mara ya kwanza Mudathir amefunga mabao (10) ndani ya msimu (1) tena ni ndani ya nusu msimu tu.