Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rekodi aliyoiweka Lionel Messi ya kufunga mabao 91 ndani ya mwaka mmoja 2012 (Januari 1- Disemba 31), huenda isifikiwe.
Cristiano Ronaldo alifunga mabao 69 (2013 akiwa na Real Madrid) na Lewandowski 69 (2021).
Erling Haaland mwaka huu ambao unaisha Disemba 31 hadi sasa ana 44, wakati Kylian Mbappe ana mabao 40 hadi sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live