Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi Danielle Orsato alionekana akitokwa na machozi mchezo wa jana usiku baina ya PSG dhidi ya Dortmund mchezo wa UEFA, chanzo ya kutokwa machozi ni kuwa mchezo huo ndio wa mwisho kuchezesha kwa ngazi za vilabu.
Mwamuzi Danielle Orsato alionekana akitokwa na machozi mchezo wa jana usiku baina ya PSG dhidi ya Dortmund mchezo wa UEFA, chanzo ya kutokwa machozi ni kuwa mchezo huo ndio wa mwisho kuchezesha kwa ngazi za vilabu. Pia atastaafu rasmi uamuzi mara baada ya mashindano ya UEFA EURO 2024 yanayotarajiwa kufanyika nchini Ujerumani mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live