Wed, 3 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wababe wa Ulaya, Real Madrid haijapoteza mchezo wowote katika mechi 24 za mwisho LaLiga (ushindi 18, sare 6), kiwango bora zaidi cha unbeaten katika msimu wa ligi kwa timu hiyo tangu 1996/97 chini ya kocha Fabio Capello (mechi 24, ushindi 16 na sare 8).
Wababe wa Ulaya, Real Madrid haijapoteza mchezo wowote katika mechi 24 za mwisho LaLiga (ushindi 18, sare 6), kiwango bora zaidi cha unbeaten katika msimu wa ligi kwa timu hiyo tangu 1996/97 chini ya kocha Fabio Capello (mechi 24, ushindi 16 na sare 8).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live