Klabu ya Real Madrid imeliomba shirikisho la mpira wa miguu barani ulaya UEFA juu ya kufunga roof ya juu ya uwanja wa Santiago Bernabeu siku ya leo kwenye mechi ya UEFA Champions League dhidi ya Manchester City lengo ni kuzuia kelele za mashabiki kusambaa nje ya uwanja na badala yake ziendelee kubaki ndani kuhamasisha wachezaji zaidi.
Klabu ya Real Madrid imeliomba shirikisho la mpira wa miguu barani ulaya UEFA juu ya kufunga roof ya juu ya uwanja wa Santiago Bernabeu siku ya leo kwenye mechi ya UEFA Champions League dhidi ya Manchester City lengo ni kuzuia kelele za mashabiki kusambaa nje ya uwanja na badala yake ziendelee kubaki ndani kuhamasisha wachezaji zaidi.