Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Real Madrid inavutiwa na kiungo mshambuliaji wa Bayern Munich Jamal Musiala na imeonyesha nia ya dhati ya kutaka kumsajili,
Klabu ya Real Madrid inavutiwa na kiungo mshambuliaji wa Bayern Munich Jamal Musiala na imeonyesha nia ya dhati ya kutaka kumsajili, Iwapo dili hilo litafanikiwa, kikosi hicho kitakuwa na wakali vijana kama Jude, Musiala, Vini, Jr, Rodrygo, Camavinga na Tchoumeni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live