Fri, 2 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Real Madrid imetangaza kuingia Mkataba na Kampuni ya HP kwaajili ya kutangaza Kampuni hiyo kwenye jezi zao.
Klabu ya Real Madrid imetangaza kuingia Mkataba na Kampuni ya HP kwaajili ya kutangaza Kampuni hiyo kwenye jezi zao. Hii ina maana kwamba jezi ya Real Madrid kupitia matangazo itakuwa inazalisha €200m+ kila mwaka ambapo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 540.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live