Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Real Madrid leo wameianza safari kutoka Hispania kuelekea Italia ambapo wanaenda kwa ajili ya mchezo wao wa makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL) dhidi ya Napoli.
Mchezo huo utapigwa katika dimba la stadio Diego Armando Maradona huku nchini Italia.
Kesho zitapigwa mechi mbalimbali za hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Ulaya #UCL kwenye viunga tofauti tofauti.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live