Mon, 18 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya soka ya Real Madrid imetoka nyuma 1-0 na kupindua meza kibabe ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa Laliga.
FT: Real Madrid 2-1 Real Sociedad ⚽ Valverde 46' ⚽ Joselu 60'
⚽ Barrenetxea 5'
Real Madrid imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Uhispania ikiwa na alama 15 baada ya mechi 5 ikifunga magoli 10 na kuruhusu matatu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live