Tue, 6 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almasi Kasongo amesema ratiba ya ligi kuu ipo tayari kwa asilimia 99.9 na wanafikiria kuitangaza kesho.
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almasi Kasongo amesema ratiba ya ligi kuu ipo tayari kwa asilimia 99.9 na wanafikiria kuitangaza kesho. “Ratiba ipo tayari kwa asilimia 99.9 imani yangu ni kuwa kesho tutaitangaza ratiba ya ligi kuu kwa msimu 2024/25,” amesema Kasongo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live