Sun, 31 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara itaendela leo Oktoba 31 kwa Mchezo mmoja utakaopigwa Jijini Dar es Salaam.
Katika Uwanja wa Mkapa wilayani Temake Wekundu wa Msimbazi Simba S, watawakaribisha Wagosi wa Kaya, Coastal Union kutoka kule mkoani Tanga.
Simba wanaingia katika mchezo huo wakiwa na kumbu kumbu ya ushindi wa goli 1-0 walioupata dhidi ya Polisi Tanzania.
Mchezo huo utapigwa majira ya saa 1:00 usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live