Sat, 30 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea leo Oktoba 30 ndani Jiji la Dar es Salaam ambapo kutapigwa michezo miwili.
Katika mchezo wa mapema majira ya saa 10:00 jioni timu ya Mtibwa Sugar itawakaribisha Dodoma Jiji katika uwanja wa Uhuru.
Na itakapofika saa 1:00 usiku kutakua na mpambano unaosubiriwa kwa hamu kati ya vigogo wawili Yanga dhidi ya Azam FC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live