Sat, 27 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara 2021/2022(NBC Primia Ligi) inaendelea leo Novemba 27 kwa michezo miwili.
Michezo hiyo ya mzunguko wa saba, Mbeya City watawakaribisha watoza ushuru wa manispaa ya Kinondoni katiak Uwanja wa Kumbu Kumbu ya Sokoine mkoani Mbeya majira ya saa 10:00 jioni.
Katika mchezo wa Pili ambao nao utachezwa majira ya saa 10:00 jioni Tanzania Prisons wataikaribisha Namungo FC katika Uwanja wa Nelson Mandela.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live