Sat, 20 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu ya Tanzania Bara, imerudi tena baada ya kupisha kalenda ya FIFA kufuzu kwa michuano ya Kombe la Dunia Qatar 2022.
Leo Novemba 20, kutapigwa michezo mitatu katika viwanja vitatu tofauti, lakini mchezo wenye kuvuta hisia za wengi ni ule wa kule mkoani Lindi ambapo Namungo wataikaribisha timu ya Wananchi Dar Young Africans.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live