Sun, 5 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2021/2022 inaingia hatua ya mzunguka wa nane wiki hii.
Leo Disemba 5, kutapigwa mechi mbili ambapo kule katika uwanja wa Chamazi Complex Azam wataikaribisha Geita Gold majira ya saa 10:00 jioni.
Wakati katika uwanja wa Mkwakwani Mkoani Tanga, wenyeji Coastal Union wataikaribisha Mbeya Kwanza majira ya saa 10:00 jioni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live