Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rasmus Hojlund ana magoli 3 tu tangu ajiunge na Manchester United tena katika Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.
Wakina Bruno,Rushford,Garnacho,Mount na wengineo hawatengenezi nafasi za kutosha kwa Hojlund kufunga.
Leo anarudi nyumbani kwao Denmark kucheza za klabu ya Copenhagen.
Je ataweka wavuni?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live