Kocha wa zamani wa klabu ya Arsenal ambaye kwa sasa ni Mkuu wa maendeleo ya soka wa FIFA, Arsene WENGER tayari ametua nchini Tanzania kwa ajili ya kuitazama mechi ya ufunguzi wa Mashindano ya African Football League kati ya wenyeji Simba SC dhidi ya Al Ahly katika dimba la Benjamin Mkapa.
Tazama Video ya Wenger hapa chini;
Kwa mara ya kwanza leo, Kocha mwenye heshima kubwa kwenye soka la Ulaya, Arsene Wenger atakuwa Kwa Mkapa akiangalia boli. Ni Kocha mkubwa aliyeweka heshima akiwa na Arsenal na anaheshimika kwenye Ligi Kuu ya England. Atashuhudia unyama mwingi Kwa Mkapa. [ManaraTV] pic.twitter.com/xyqmN5JkMm
— SportsArenaTz (@SportsarenatzTz) October 20, 2023