Thu, 1 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Geita Gold imethibitisha kunasa saini ya aliyekuwa Kiungo wa Yanga SC, Said Ntibazonkiza 'Saido' kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Saido anajiunga na Geita Gold akiwa mchezaji huru baada ya kutemwa na Yanga mwishoni mwa msimu uliopita kwa kile kilichoelezwa kuwa ni utovu wa nidhamu.
“Godfather wa Bujumbura anakuja kuongeza nguvu katika idara ya ushambuliaji”
imesema taarifa ya Geita Gold.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live