Tue, 19 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vilabu vya Chelsea na Bayern Munich ni miongoni mwa vilabu vinavyoangalia namna ya kumpata Mlinda lango wa klabu ya Arsenal Aaron Ramsdale.
Vilabu vya Chelsea na Bayern Munich ni miongoni mwa vilabu vinavyoangalia namna ya kumpata Mlinda lango wa klabu ya Arsenal Aaron Ramsdale. Ramsdale hakufurahishwa na kitendo cha Kocha Mikel Arteta kumuweka nje katika mchezo dhidi ya Everton.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live