Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Sevilla imemtangaza rasmi nahodha wao mkuu Sergio Ramos kuwa mchezaji Bora wa mwezi April katika klabu hiyo.
Klabu ya Sevilla imemtangaza rasmi nahodha wao mkuu Sergio Ramos kuwa mchezaji Bora wa mwezi April katika klabu hiyo. Ramos ni miongoni mwa mabeki wakongwe La Liga ambao bado wanafanya vyema mpaka hivi sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live