Tue, 18 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Sevilla imethibitisha beki wake Sergio Ramos ameondoka baada ya kudumu kwa msimu mmoja na sasa ni mchezaji huru.
Klabu ya Sevilla imethibitisha beki wake Sergio Ramos ameondoka baada ya kudumu kwa msimu mmoja na sasa ni mchezaji huru. Ramos alijiunga na Klabu ya Sevilla msimu uliopita akitokea kwa matajiri wa Ufaransa PSG.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live