Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuelekea mchezo wa derby ya kariakoo ambapo vigogo Simba na Yanga wanaenda kukutana siku ya Jumamosi ya tarehe 20.
Waamuzi wa mchezo huo tayari wameshajulikana na ndiyo watakao tafsiri na kusimamia sheria zote 17 za soka.
Hii hapa ni safu ya waamuzi wa mechi ya Kariakoo Derby
Mwamuzi wa Kati: Ramadhani Kayoko
Line 1: Frank Komba
Line 2: Janneth Balama
Kamisaa: Heri Sasii.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live