Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Ralf Rangnick amekataa ombi la Bayern na hatokuwa meneja mpya wa Klabu hiyo kwasababu zake kibinafsi.
Kocha Ralf Rangnick amekataa ombi la Bayern na hatokuwa meneja mpya wa Klabu hiyo kwasababu zake kibinafsi. “Mimi ni kocha wa timu ya Austria kwa moyo wangu wote, sio kwamba naikataa Bayern, lakini ni uamuzi kwa timu yangu na malengo yetu ya pamoja,” amesema Rangnick.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live