Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kamati ya nidhamu Shirikisho la soka Duniani FIFA imemfungia Rais wa zamani wa shirikisho la soka nchini Hispania Luis Rubiales kujihusisha na soka kwa miaka mitatu (3).
Hii inakuja baada ya tukio alilolifanya la kumpiga busu mchezaji wa timu ya Taifa ya wanawake ya Hispania wakati wa kukabidhiwa ubingwa wa kombe la Dunia mwaka huu.
Tukio hilo lililtokea wakati Kikosi hicho cha Hispania kilipobeba Ubingwa wa Dunia kwa wanawake 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live