Sun, 7 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Raja Club Athletic, Aziz El Badraoui (52) ataachia nafasi yake mwishoni mwa mwezi Mei baada ya kushindwa kufikia malengo ya Klabu kwa msimu wa 2022/23 na kusababisha hasara ya USD Milioni 1.
Rais wa Raja Club Athletic, Aziz El Badraoui (52) ataachia nafasi yake mwishoni mwa mwezi Mei baada ya kushindwa kufikia malengo ya Klabu kwa msimu wa 2022/23 na kusababisha hasara ya USD Milioni 1. Raja haipo kwenye nafasi ya kushinda ubingwa wa Moroccan League msimu huu lakini pia imeondoshwa kwenye mashindano ya CAF CL hatua ya Robo Fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live