Fri, 11 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Club Africain ya Tunisia na wajumbe wa bodi ya usimamizi ya klabu hiyo kwa pamoja wamejiuzulu nafasi zao baada ya klabu hiyo kushindwa kufuzu hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho Afrika kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Yanga SC ya Tanzania.
Rais wa Club Africain ya Tunisia na wajumbe wa bodi ya usimamizi ya klabu hiyo kwa pamoja wamejiuzulu nafasi zao baada ya klabu hiyo kushindwa kufuzu hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho Afrika kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Yanga SC ya Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live