Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Brazil Lula da Silva amewataka wachezaji wa Brazil kumtumia Leonel Messi kama mfano kwenye maisha yao ya soka baada ya mwanasoka huyo kubeba tuzo ya nane (8) ya Ballon d'Or.
Rais wa Brazil Lula da Silva amewataka wachezaji wa Brazil kumtumia Leonel Messi kama mfano kwenye maisha yao ya soka baada ya mwanasoka huyo kubeba tuzo ya nane (8) ya Ballon d'Or. Lula amewaambia wanapaswa kuwekeza katika mpira, Tuzo ya Ballon d'Or haiji kwa kwenda klabu usiku, ama kwa kuendekeza starehe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live