Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa klabu ya Ankaragücü Faruk Koca amekamatwa na vyombo vya usalama nchini Uturuki kufuatia tukio la kumpiga ngumi ya uso mwamuzi usiku wa jana mara baada ya Mchezo baina ya Ankaragücü vs Rivespor kumalizika.
Rais wa klabu ya Ankaragücü Faruk Koca amekamatwa na vyombo vya usalama nchini Uturuki kufuatia tukio la kumpiga ngumi ya uso mwamuzi usiku wa jana mara baada ya Mchezo baina ya Ankaragücü vs Rivespor kumalizika. Mchezo huo ulimalizika kwa sare ya kufungana goli 1-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live