Fri, 9 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa shirikisho la soka Barani Ulaya Eleksander Ceferin ametangaza kuwa hatashiriki uchaguzi ujao wa shirikisho hilo kutokana na sababu binafsi za kifamilia.
Eleksander ameweka wazi kuwa ni wakati wa damu changa kuongoza shirikisho hilo na kuleta maono mapya kwa maslahi mapana ya soka la Ulaya.
Maamulizi ya Ceferin unayaonaje?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live