Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Pindi Chana (kushoto) akimkabidhi kipa wa Yanga, Metacha Mnata fedha taslimu Sh. Milioni 20 zawadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwa bao lao wakifungwa 2-1 na USM Alger Jumapili kwenye Fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa BenjamÃn Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Kiasi hiko cha pesa kilizua mjadala kwani ahadi ilikuwa ni sharti magoli hayo yelete ushindi.
Sasa msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amefafanua kwa nini Yanga wamepata fedha hizo licha ya kutopata ushindi.
Msikilize hapa chini Msigwa akifafanua;